Bei kwa Kilo Moja. Mchele 3,500, Maharage 3,800

Bei kwa Kilo Moja. Mchele 3,500, Maharage 3,800

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Juzi nimelejea toka huko majuu niliko Kaa mda wa mwezi hivi.

Niliacha Mchele ukiwa 2,800 kwa kilo.

Mda huu niko dukani Bei ndio hizo hapo juu.

Hii nchi hadi tufike January 2023 ambapo wakulima wataanza kuvuna tena tutakuwa tumechoka sana.
 
Juzi nimelejea toka huko majuu niliko Kaa mda wa mwezi hivi.

Niliacha Mchele ukiwa 2,800 kwa kilo.

Mda huu niko dukani Bei ndio hizo hapo juu.

Hii nchi hadi tufike January 2023 ambapo wakulima wataanza kuvuna tena tutakuwa tumechoka sana.
Ila January ndio wengi wanaanza kupanda mazao. Subiri ofike Machi 2023 wakati karibu chakula chote kinapopungua.
 
Wanyonge hawapo
Waacheni wakulima walambe asali hutaki nenda kalime mashamba nchi hii sio changamoto
La sivyo kaa na hela zako waache wao wakae na hela zao
Ila hapo songombingo ni hao madalali tu hasa gharama za usafiri zipo juu sana
 
Juzi nimelejea toka huko majuu niliko Kaa mda wa mwezi hivi.

Niliacha Mchele ukiwa 2,800 kwa kilo.

Mda huu niko dukani Bei ndio hizo hapo juu.

Hii nchi hadi tufike January 2023 ambapo wakulima wataanza kuvuna tena tutakuwa tumechoka sana.
Wewe ulitaka Bei iwe sh.ngapi?
 
Wanyonge hawapo
Waacheni wakulima walambe asali hutaki nenda kalime mashamba nchi hii sio changamoto
La sivyo kaa na hela zako waache wao wakae na hela zao
Ila hapo songombingo ni hao madalali tu hasa gharama za usafiri zipo juu sana
Wakulima washamaliza kuuza. Sasa ni zamu ya wachuuzi.

Baada ya miezi miwili wakulima wataanza kununua Tena chakula.
 
Kweni huko majuu mchele kilo bei gani?
Tunaambiwa kuwa mfumuko wa bei ni Dunia mzima.
 
Wakulima washamaliza kuuza. Sasa ni zamu ya wachuuzi.

Baada ya miezi miwili wakulima wataanza kununua Tena chakula.
Halafu Kuna mikenge inadai imethibiti mfumuko wa bei !!
 
Back
Top Bottom