Wapenz wanajamvi, mimi ni mtoto wa mkulima ningependa kujua na kufahamishwa bei za mazao ya chakula zilizopendekezwa na serikali hasa kwa manunuzi ya magunia kwa mazao haya mpunga. Mahindi, maharagwe, mtama na njegele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.