Sio feza nyingi,inaonyesha wengi hamjarudi nyumbani kwa muda mreeeeeeeefu,ndio mnaona hayo manamba na matamshi ayalingani na huko mliko mwambieni awape mahesabu kwenye dola mtaona huko mliko mnashida zaidi kuliko hapa bongo.
Ndugu zangu watanzania wote mnaomiliki magari hizi ni bei mpya kupata new motor vehicle lecence pamoja na registration za magari pale TRA Bei imepanda kwa asilimia 95%.
Hivi kweli tutafika, mafuta ya gari yamepanda, motor vehicle license nayo imepanda, nasikia na umeme umepanda kutoka 240,000/= mpk 560,000. KWELI HAYA NDIO MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA?
ENGINE CAPACITY (0 - 500)
Utalipia shilling 50,000/=
Na Penalty yake ni sh. 30,000/=
ENGINE CAPACITY IKIWA 501 - 1500
Utalipia shiling 80,000/=
Penalty yake ni sh. 42,000/=
ENGINE CAPACITY IKIWA 1501 - 2500
Utalipia shilling 150,000/-
Na penalty ni shiling 60,000/=
ENGINE CAPACITY IKIWA NI 2501 - 5000
Utalipia shilling 330,000/=
Penalty ni shilling 105,000/=
ENGINE CAPACITY IKIWA NI 5001 AND ABOVE
Utalipia shilling 175,000/=
Penalty itakuwa ni sh. 66,000/=
Nadhani hapo mtakuwa mmenipata.
Pamoja na kuwa ni lazima kodi ilipwe inakuwaje inaongezwa kwa asilimia karibu 100. Huu ni uzembe ambao kuna baadhi ya wafanyakazi wa serikali wamefanya na hawatachukuliwa hatua yoyote. Kama inflation haifiki hata 10% inakuwaje hii bei mpya inakuwa kubwa namna hiyo?
Hivi TRA huwa wanatumia vigezo gani katika kuweka viwango vyake hususan hivi?
Nashindwa kuelewa kama bado ile KASUMBA {as said by Mwl.Nyerere} bado ss Watanzania tunao jiita Wadanganyika bado tunayo au ni kwamba tunajiendekeza?
Tumekua na vichwa viguu kuelewa au kupambanua mambo,hapa naona mto maada alilenga hali ngumu ya maisha ktk caurse ya mfumuko wa bei inayo leta kupanda kwa bei ya kila kitu kwa mtanzania mwenye mshahara wa kawaida.
Lakini hapo hapo tuna changany mambomawili kwa wakti mmoja kwa kulinganisha hali ilivyo kua hapo nyuma say mieze 24 iliyopita.Kwa maana nyingine utwala wa Bwn.Mkampa kulinganisha na Ndugu Kikwete,Naomba tuweke base ya mazungumzo au discussion hii ili tuje na conclusion ya maana na ya ukweli n a sio kua na Kasumba ya kuamini tuombiwayo na na wanayoytaka yawe hivyo.
Kwanza Ngugu mtoa maada na wachangiaji mliotangulia lazima tuelewe,NYUMBA HAIJENGWI BILA YA KUWEKA MSINGI, hapa ni na maana maatatizo au hili tatizo tulilo nalo sasa sio salwa la kumlaumu huyu Muungwana kwani yy ameichukua nchi tayari na matatizo yake ikiwemo huu UFISADI ambo ndio root ya kila ulionalo leo.Ukitaka jenga nyumba lazima uanze na msingi! msingi wa tatizo hili umejengwa miaka 6-7 nyuma kabla ya muungwana haja pewa nafasi ya kuuza sura.Mkapa ndio aliweka Msingi wa haya yote.Nakumbuka Mwl.wangu Economics shule alisema "Factor moja ya uchumi sio kama shoti ya umeme kwamba ukiwasha switch hapo hapo utaona cheche,ila it takes time mpaka impact ije kuwa revealed"
Chukua Epoch ya vipindi vya utawala wa hao waheshimiwa na otaona nini ninacho jalibu kupigia mstari,na kama kweli lazima tuwe na msingi ili tujenge jumba basi kimtazo kwa angle hii ni dhahili kwamba The beloved Mkapa ndio kiini cha tatizo.
Kama mtakumbuka au vile ijulikanavyo mwanzoni kabisa wa kipindi cha tatu cha utwala wa nchii hii Ilielezwa kwamba Raisi Mkapa ameilithi nchi ikiwa na mzigo kumkubwa wa MADENI ya NNJE amboyo wametokana na utawala mbovu wa MZEE RUKSA,natuliambiwa hii nikutokana na misingi mibovu ya uchumi wa zama za mzee yule. Tulikubaliana na hili pale tulipo takiwa kufunga mikanda kwa ajiri ya kuruhusu serikari kukusanya pesa za kulipa madeni hayo ambayo yanaendelea kulipwa mpaka leo hii,kiasi cha kuambiwa siku chache zilizo pita ili kilipa deni lote watanzania wote mpaka watoto wao walipe laki 4 na wale Watz walio nnje kila mmoja alipe sijui dola ngapi!
Sasa ni misingi ile ile Mibovu ya Bwn Mkapa kama ilivyo kuwa kwa bwana Ruksa iliyo letelea kufikia hapa tulipo.INFLATION ya kufa mtu unajikuta mwananchi wa kawaida unabeba mizigo ya serikari.So please Ndg.Dk stop bealeving on divine ruler sababu hakukuwepo na hakutokuwepo kama mtaendelea kujidanganya wenyewe ya afadhali ya furani...!Mm naita hiyo kasumba nnjooni kwenye dinia ya ukweli na anzeni kufocus baada ya kuamini muuambiwayo.Tuliweka misingi ya hayo huko nyuma sasa ndio nyumba inakaribia kwisha.
Sitaki nieleweke kama na jaribu kumtetea huyu bwana Muungwana NO! ila still kama anataka kuwa serious na kubadili hii hari anayo chance kwani ni muda mchache tu toka amepata nafasi ila yy na aliye tangulia are from the same ZOO sitoshaangaa akiwa ndio walewale.
Ni mawazo tu...!