Bei ya carina n sh.ngap?

alipofika

Member
Joined
Apr 29, 2015
Posts
41
Reaction score
12
Kama heading inavyojieleza..naomba kuuliza carina used naweza kupata kw shlng ngap? Mana naendelea kujichanga changa mda c mrefu nahitaji kumilik hii gar...Ahsanten..
 
Kama heading inavyojieleza..naomba kuuliza carina used naweza kupata kw shlng ngap? Mana naendelea kujichanga changa mda c mrefu nahitaji kumilik hii gar...Ahsanten..
Andaa bajeti ya 9millions uagize moja kwa moja Japan. Usije ukanunua kwa wabongo zilizochoka. Kama huwezi kuagiza mwenyewe kuna kampuni maalumu inayowaagizia watu magari hapa Tanzania tembelea hapa www.kalumbilo.online hata ukitaka ushauri watakupa tu
 

Ahsante sana kw ushaur wako...ubarikiwe
 
Kama heading inavyojieleza..naomba kuuliza carina used naweza kupata kw shlng ngap? Mana naendelea kujichanga changa mda c mrefu nahitaji kumilik hii gar...Ahsanten..

6.5 nakupa Carina nzuri sana sana.... Naenda Kenya kikazi ndio mana nauza....
 
CARINA ZIKO nyingi unataka ipi ? Kundulanyani ama ipi? Na unataka TI au Si? Si zina kula mafuta zaidi ya Ti......kwakuwa Si ina cc kubwa!
 
Kama heading inavyojieleza..naomba kuuliza carina used naweza kupata kw shlng ngap? Mana naendelea kujichanga changa mda c mrefu nahitaji kumilik hii gar...Ahsanten..

Ya mwaka gani..?
aina gani ya carina..??
iliyotembea kilometa ngapi..?
Ya rangi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…