wakuu heshima mbele,nauliza hivi kiwandani wazo cement,wanauzaji kwa tani 1,yaanh 20 bags,nina kisehemu nauza cement,nadhan nikiwa nanunua direct kiwandan walau ka profit katapanda panda,na pia utaratibu wa kununua huko kiwandani upoje?tafadhali kwa anaefahamu naomba msaada.