Bei ya chenga iko juu kuliko mpunga

Bei ya chenga iko juu kuliko mpunga

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
304
Reaction score
401
Msimu huu umekua na maajabu sana kwenye bei ya Mpunga.

Kwa masoko ya Ubaruku,Igulusi na Chimala debe moja la Chenga sh 12,000/= mpka 15,000/= huku bei ya Mpunga kwa kipimo cha debe kama hicho sh 7000/= mpaka 9000/= kutegemea na mbegu.
 
Back
Top Bottom