Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wakuu,
Container la futi 20 au 40 linauzwaje ? Hata kama ni la mtaani (used).
Na gharama ya kulisafirisha kutoka Dar to Korogwe - Tanga bei ni sh ngapi?
Naomba kuwasilisha!
Container la futi 20 au 40 linauzwaje ? Hata kama ni la mtaani (used).
Na gharama ya kulisafirisha kutoka Dar to Korogwe - Tanga bei ni sh ngapi?
Naomba kuwasilisha!