Bei ya Container na gharama ya kulisafirisha

Bei ya Container na gharama ya kulisafirisha

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Wakuu,

Container la futi 20 au 40 linauzwaje ? Hata kama ni la mtaani (used).

Na gharama ya kulisafirisha kutoka Dar to Korogwe - Tanga bei ni sh ngapi?

Naomba kuwasilisha!
 
Used container 20ft lenye full documents ni 4.5M. Ukihitaji lenye hali ya upya kabisa badi andaa angalau 6M.
Usafiri hadi Korogwe sifahamu.

0755963775 calls/WhatsApp
 
Wakuu,

Container la futi 20 au 40 linauzwaje ? Hata kama ni la mtaani (used).

Na gharama ya kulisafirisha kutoka Dar to Korogwe - Tanga bei ni sh ngapi?

Naomba kuwasilisha!
Kwa sasa utapata Kwa bei rafiki
Zipo Grade
A
B
C

Bei inaanzia 4M- 3.5M kutokana na karibu tukuhudumie

0625085224
 
Wakuu,

Container la futi 20 au 40 linauzwaje ? Hata kama ni la mtaani (used).

Na gharama ya kulisafirisha kutoka Dar to Korogwe - Tanga bei ni sh ngapi?

Naomba kuwasilisha!
Umepata Container tayar....?
 
Back
Top Bottom