Bei ya Dar to Dom 20,000 km 400 bei ya Dar to Zanzibar 25 km 25

NI MTAZAMO TU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,203
Reaction score
999
Hivi sumatra hawajaliona hili, haiwezekan kwenye maji kukawa na bei kubwa sana mwendo wa saa 1.30 na Dom mwendo wa saa 9 mpka 10

Naomba kujuzwa tofauti yake au huwa wanaangalia nini, maana mafuta ni yale yale tu
 
Hivi sumatra hawajaliona hili, haiwezekan kwenye maji kukawa na bei kubwa sana mwendo wa saa 1.30 na Dom mwendo wa saa 9 mpka 10

Naomba kujuzwa tofauti yake au huwa wanaangalia nini, maana mafuta ni yale yale tu
Mafuta ni yale yale unamaanisha nini. Mbona bei ya ndege dar-dom ni kubwa kuliko gari wakati distance ni sawa
 
Reactions: bbc
Hivi sumatra hawajaliona hili, haiwezekan kwenye maji kukawa na bei kubwa sana mwendo wa saa 1.30 na Dom mwendo wa saa 9 mpka 10

Naomba kujuzwa tofauti yake au huwa wanaangalia nini, maana mafuta ni yale yale tu
Mafuta ni yale Yale? Gharama za matengenezo ni zile zile? Gharama nyingine pia ni Sawa?
 
Reactions: bbc
Mkuu ndege na treni nauli zao ni sawa? Bei yaBoti na bei ya basi zinafanana? service zao zipo sawa? ulaji wa mafuta pia una hakika unafanana?
 
Mafuta ni yale yale unamaanisha nini. Mbona bei ya ndege dar-dom ni kubwa kuliko gari wakati distance ni sawa
Kwani ndege inatumia Diesel au Petrol nikisema ghalama ni zile zile na matumizi yanayo fanana
 
Mafuta ni yale yale unamaanisha nini. Mbona bei ya ndege dar-dom ni kubwa kuliko gari wakati distance ni sawa
Acha kudanganya watu, distance ya Dar to Dom kwa ndege sio sawa na Dar to Dom kwa basi (barabara)
 
Kwani ndege inatumia Diesel au Petrol nikisema ghalama ni zile zile na matumizi yanayo fanana
We unadhani meli zote zinatumia diesel? Ni meli chache sana zinazotumia diesel, nyingi zinatumia HFO
 
Hivi sumatra hawajaliona hili, haiwezekan kwenye maji kukawa na bei kubwa sana mwendo wa saa 1.30 na Dom mwendo wa saa 9 mpka 10

Naomba kujuzwa tofauti yake au huwa wanaangalia nini, maana mafuta ni yale yale tu
Sababu kubwa ni gharama za manunuzi matengenezo na uendeshaji ziko juu ukifananisha na za nchi kavu
 
Mada ya kimasiala lakini kuna vitu nimejifunza humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…