Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Vuka boda ya mtukula hapo chap zama kampala nunua drone kwa bei kitonga ibuka nayo kashai piga kazi chukua chako pita hivi.
Tumia za DJI Mavic Mini bei $400 au kama unaweza sana chukua Mavic Air Pro $800. Naamini ndio zipo top notch ingawa kuna cases wanasema haziwezi sana kuhimili upepo hasa wa beach hivyo usije enda nazo pale Bunena.
Thanks, hizo brand tunaweza zipata kwenye masoko yetu kama posta dar au kariakoo dar?
Hizi nimeshuhudia sana kazi zake tena zipo very common kwa watu wengi hapa Dar. Sema mleta uzi hakusema anataka drone ya kupigia kazi gani. Kama anaweza mudu gharama hii iliyotajwa hapa basi ajue hii ni uhakika. Pia lazima uagize nje maana ukitegemea bongo utapata kwa bei mbaya sana.drone Nzuri za kazi kweli kweli ni DJI phantom 3 au 4 bai za tz ni kari ya 3,000,000 - 3,500,000 (mpya) used za kutoka nje ni 1,300,000 - 2,000,000
Hizi nimeshuhudia sana kazi zake tena zipo very common kwa watu wengi hapa Dar. Sema mleta uzi hakusema anataka drone ya kupigia kazi gani. Kama anaweza mudu gharama hii iliyotajwa hapa basi ajue hii ni uhakika. Pia lazima uagize nje maana ukitegemea bongo utapata kwa bei mbaya sana.
Tabutupu
Hizi nimeshuhudia sana kazi zake tena zipo very common kwa watu wengi hapa Dar. Sema mleta uzi hakusema anataka drone ya kupigia kazi gani. Kama anaweza mudu gharama hii iliyotajwa hapa basi ajue hii ni uhakika. Pia lazima uagize nje maana ukitegemea bongo utapata kwa bei mbaya sana.
Tabutupu
Kibali kinapatikana mamlaka ipi?
TCAAKibali kinapatikana mamlaka ipi?