Bei ya engine ya ist old model

Bei ya engine ya ist old model

gubwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2016
Posts
299
Reaction score
132
Wadau habari, mwenye kujua bei za engine ya IST old model Mpya na used bei zake na ubora wake? je used nikinunua inakua bora?
 
Wadau habari, mwenye kujua bei za engine ya IST old model Mpya na used bei zake na ubora wake? je used nikinunua inakua bora?
Japo sijajua engine yako ni 1NZ au 2NZ, ila kwa ninavyofahamu, bei ya engine mpya unaweza kununua IST nyingine kutoka Japan. Maana sio chini ya US$ 5,000 bila usafiri na kodi. Engine used kwa hizo gari itakuwa kati ya 1.8m na 3m. Ubora wake unategemea na hali ya engine kabla ya kutolewa kwenye hilo gari. Which means kama ilikuwa kwenye hali nzuri, kwa hali ya kawaida, itaweza kukupa another 2 to 7years kutegemea na matumizi yako kama itafungwa vizuri, na wewe utaitunza vizuri.
 
Japo sijajua engine yako ni 1NZ au 2NZ, ila kwa ninavyofahamu, bei ya engine mpya unaweza kununua IST nyingine kutoka Japan. Maana sio chini ya US$ 5,000 bila usafiri na kodi. Engine used kwa hizo gari itakuwa kati ya 1.8m na 3m. Ubora wake unategemea na hali ya engine kabla ya kutolewa kwenye hilo gari. Which means kama ilikuwa kwenye hali nzuri, kwa hali ya kawaida, itaweza kukupa another 2 to 7years kutegemea na matumizi yako kama itafungwa vizuri, na wewe utaitunza vizuri.
Shukrani Mkuu kwa ufafanuzi, so it means hiyo used nikitaka kwenda nunua inabidi niende na fundi akaikague sio, na mara nyingi hua zinatembea kama KM ngapi hivi kaka? msaada wako bado nauhitaji please kwa hili.
 
Yes. Uende na fundi na wakupe warranty. Wengi huwa wanakuruhusu uitumie kwa muda fulani kuiangalia. Ikileta shida wanakupa nyingine. Nyingi ni km70,000 mpaka 150,000. Mafundi wazuri anaweza kukushauri ipi ni nzuri kabla ya kuifunga kwenye gari. Japo sio rahisi kivile kama haiko kwenye gari.
 
Yes. Uende na fundi na wakupe warranty. Wengi huwa wanakuruhusu uitumie kwa muda fulani kuiangalia. Ikileta shida wanakupa nyingine. Nyingi ni km70,000 mpaka 150,000. Mafundi wazuri anaweza kukushauri ipi ni nzuri kabla ya kuifunga kwenye gari. Japo sio rahisi kivile kama haiko kwenye gari.
Thank you soo much kaka! ubarikiwe sana!
 
Back
Top Bottom