Ni hivi jana serikali imepiga marufuku kupanda bei huku kukiwa na sintofahamu ya marufuku iliyotolewa kupanda kwa gesi.
Bei ya Gesi haikupunguzwa baada ya serikali kuingilia kati na kupiga marufuku upandaji huo.
Sasa najiuliza Meno ya serikali ni butu na hivyo hata kwenye petrol watagomewa tena?
Waziri mhusika ukuje hukuuuu
Bei ya Gesi haikupunguzwa baada ya serikali kuingilia kati na kupiga marufuku upandaji huo.
Sasa najiuliza Meno ya serikali ni butu na hivyo hata kwenye petrol watagomewa tena?
Waziri mhusika ukuje hukuuuu