Kweli kabisa..Kumsikiliza mwigulu akiongea chochote nchi Hii imekua Ni KERO Sana.
Uyu jamaa
Ana kauli za kikatili Sana,
Anakauli za kebehi, majivuno na kujiskia Sana.
Uyu jamaa anachochea sana chuki ya wananchi dhidi ya serikali yao
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Dharau za wanyiramba, angalia Gwajima girl, Mkumbo na MwiguluKumsikiliza mwigulu akiongea chochote nchi Hii imekua Ni KERO Sana.
Uyu jamaa
Ana kauli za kikatili Sana,
Anakauli za kebehi, majivuno na kujiskia Sana.
Uyu jamaa anachochea sana chuki ya wananchi dhidi ya serikali yao
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Inatakiwa vitu vipande haswa maana nchi haina kiongozi tena ina mtawalaKweli kabisa..
Yaani matamko ya serikali hayaogopwi siku hizi ntashangaa sana kama hili la mafuta litazingatiwaNdiyo kwanza gas inapanda mkuu
Mwenye petrol stations ni hao hao akina Mwigulu, unategemea nini?Yaani matamko ya serikali hayaogopwi siku hizi ntashangaa sana kama hili la mafuta litazingatiwa
πππKumsikiliza mwigulu akiongea chochote nchi Hii imekua Ni KERO Sana.
Uyu jamaa
Ana kauli za kikatili Sana,
Anakauli za kebehi, majivuno na kujiskia Sana.
Uyu jamaa anachochea sana chuki ya wananchi dhidi ya serikali yao
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Inatakiwa upande zaidi ili wanyonge tuwe na chakujifunzaHata uko kwenu imepanda