Mujwahuzia
Senior Member
- Nov 17, 2011
- 137
- 31
Wana jukwaa ninasikitishwa sana na bei ya kahawa nchini kwetu ukilinganisha na wenzetu wa Uganda ukizingatia kwamba wao ni lazima waipitishe nchini kwetu kkabla ya kwenda kwenye soko la dunia. sasa iweje wao bei juu kuliko hapa kwetu