Mujwahuzia
Senior Member
- Nov 17, 2011
- 137
- 31
Wana jukwaa ninasikitishwa sana na bei ya kahawa nchini kwetu ukilinganisha na wenzetu wa Uganda ukizingatia kwamba wao ni lazima waipitishe nchini kwetu kkabla ya kwenda kwenye soko la dunia. sasa iweje wao bei juu kuliko hapa kwetu
Nenda ,Mbinga (Ruvuma) au kagera , na Iringa (Mfindi ) kuna mzalishaji anaitwa MTC. Pia inapatikana Mbozi(Mbeya)Mkuu naomba utufahamishe tofauti yake kibei zaidi ni ngapi? Ninahitaji kahawa aina ya arabica kuanzia tani moja kila mwezi.
Mkuu mavuno ni miezi IPI maeneo hayo?Nenda ,Mbinga (Ruvuma) au kagera , na Iringa (Mfindi ) kuna mzalishaji anaitwa MTC. Pia inapatikana Mbozi(Mbeya)