Bei ya kilo ya korosho kavu mikoa ya pwani

Bei ya kilo ya korosho kavu mikoa ya pwani

Ntu

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,001
Reaction score
650
Wakuu heshima kwenu! Naomba kujuzwa bei ya kilo ya korosho kavu mikoa ya pwani/ maeneo yanayolimwa ni bei gani kwa jumla.

Wasaalam,
Ntu
 
Unaposema Korosho kavu unamaanisha nini? Tafadhali fafanua maana nijuavyo mimi korosho ambazo hazijabanguliwa huuzwa zikiwa kavu na sio mbichi. Au wewe unamaanisha zilizobanguliwa?
 
Unaposema Korosho kavu unamaanisha nini? Tafadhali fafanua maana nijuavyo mimi korosho ambazo hazijabanguliwa huuzwa zikiwa kavu na sio mbichi. Au wewe unamaanisha zilizobanguliwa?

Zilizobanguliwa, Sorry Mkuu!
 
Ok ukinunua kwa wakulima inategemea na quality na pia upeo wa huyo anayekuuzia ila jiandae bei kati ya sh. 8000 hadi 15000 kwa kilo
 
Ok ukinunua kwa wakulima inategemea na quality na pia upeo wa huyo anayekuuzia ila jiandae bei kati ya sh. 8000 hadi 15000 kwa kilo

Thanks Mkuu, nahitaji ya low quality!
 
Wakuu nangojea michango yenu!
 
Back
Top Bottom