Tetesi: Bei ya korosho yaporomoka

Tetesi: Bei ya korosho yaporomoka

CHITEMBEJA

Member
Joined
Apr 18, 2011
Posts
50
Reaction score
20
Bei ya korosho msimu huu imeanza kuporomoka katika minada iliyofanyika wiki iliyopita na wiki mkoani Lindi.

Habari kutoka mkoani huko zinadai kuwa bei imeshuka katika mnada uliyofanyika Liwale kutoka shs 3800/= hadi kufikia shs 2500/= kwa kilomoja ya daraja la kwanza.

kutokana na hali hiyo mbaya inadaiwa uongozi wa serikali wa mkoa huo umeruhusu wanunuzi wa zao hilo kusafirisha kupitia Bandari ya Dar es Salaam badala ya Mtwara ili kuepuka usumbufu unaodaiwa kushusha bei hiyo ya korosho.
 
Ni juzi juzi tu Magufuli alikuwa anajisifia kuwa ameweza kuipandisha bei ya kurosho mpaka kilo 1 kuuzwa kwa shilingi 4000/= ?

Nini kimetokea tena?
Alikuwa anajisifia asichokifahamu?
 
Lizaboni alikuwa anashangilia sana. Aje atoe maelezo kwann bei imeshuka
HALI NI MBAYA KWA AKILI ZA WANASSM WATASEMA HAO NI WAPIGA DILI
 
Satan follow the army band.
 
Nchi hii siasa nyingi, hiyo bei ndo basi itaporomoka mpaka kufika mia 9
 
Ni juzi juzi tu Magufuli alikuwa anajisifia kuwa ameweza kuipandisha bei ya kurosho mpaka kilo 1 kuuzwa kwa shilingi 4000/= ?

Nini kimetokea tena?
Alikuwa anajisifia asichokifahamu?
Najua chadema mnakesha mkiomba bei ipolomoke faster ili mpate hoja kwa wananchi. Nyie watu wa ajabu sana badala ya kuiombea nchi hii mema nyie mnaiombe idumbukie shimoni. Hizi siasa za upinzani Africa mi naona vyama vya upinzani vifutwe mana havina maana yoyote. Vyama vya upinzani vikifutwa nchi itaenselea kwa kasi sana mana wao kila kitu wanaponda kweli kiwe vizuri au kibaya na hawana suruhisho. Come back Dr slaa upinzani umeshajifia
 
ilikuwa 4000, ikashuka mpaka 3800 wakulima wakakataa kuuza (niliona kwenye taarifa ya habari)

leo imekuwa 2500, daa! isije kurudi kama zamani 1000
 
Hatupendi iwe hvyo.ila huu uongozi unatulazimisha kufurahia haya mambo.siku zote ukweli ujitenga na uongo.
 
Kichwa maji kweli we cdm imeingiaje Hapo

OVA
Najua chadema mnakesha mkiomba bei ipolomoke faster ili mpate hoja kwa wananchi. Nyie watu wa ajabu sana badala ya kuiombea nchi hii mema nyie mnaiombe idumbukie shimoni. Hizi siasa za upinzani Africa mi naona vyama vya upinzani vifutwe mana havina maana yoyote. Vyama vya upinzani vikifutwa nchi itaenselea kwa kasi sana mana wao kila kitu wanaponda kweli kiwe vizuri au kibaya na hawana suruhisho. Come back Dr slaa upinzani umeshajifia
 
Back
Top Bottom