Bei ya kununua Twitter ni bajeti ya Tanzania kwa Miaka 2 na zaidi

Bei ya kununua Twitter ni bajeti ya Tanzania kwa Miaka 2 na zaidi

KIDUME20

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2023
Posts
1,951
Reaction score
4,540
Habarini binadamu wenzangu.

Leo nimeona kwenye habari kuwa bajeti ya tz kwa mwaka 2023/2024 ni Trillion 44.3 nilivyoona hiyo 44 nikakumbuka bei ya twitter iliyonunuliwa na musk kwa 44B$ ambayo ni sawasawa na Trillion za kitanzania 101.2.

Pesa mingi sio hivyo nikavuta taswira huyu jamaa anaweza kubeba mzigo wetu wa uchumi kwa miaka 2 na usheee huku utajiri wake ukiremain constant lakini unafluctuate sometime.

Lakini pia nimejifunza huwezi kuwa tajiri kuliko nchi yako maana utajiri wa USA ni Trillions of dollars. Ila huku ni billions tu ndo maana.

Ni vigumu kuwa tajiri zaidi ya utajiri wa nchi yako.

All in all sijui kwann nimeanzisha threa.

Tchao

images.jpg
 
Google na Apple zina utajiri kuliko bara la Africa combined, utajiri wake unazidi GDP nzima ya Africa, Bank nyingi na makampuni mengi ya kimarekani yanazidi uchumi wa Tanzania, Tanzania bado ni maskini sana na budget yake inalingana na University nyingi za kimarekani ambazo sio top 10.
 
Google na Apple zina utajiri kuliko bara la Africa combined, utajiri wake unazidi GDP nzima ya Africa, Bank nyingi na makampuni mengi ya kimarekani yanazidi uchumi wa Tanzania, Tanzania bado ni maskini sana na budget yake inalingana na University nyingi za kimarekani ambazo sio top 10
Hapo kwenye university nitajie ambayo si top 10 na inaizidi tz budget

Hayo mengine nimekubali kabisa
 
Hapo kwenye university nitajie ambayo si top 10 na inaizidi tz budget

Hayo mengine nimekubali kabisa
Ill take it back maana kwenye makaratsi tunaonekana tuna budget kubwa, lakini budget zetu ni projections tuu hata 50% ya hizo pesa hazitapatikana wala kutumika, wenzetu wakikupa budget maana yake pesa yote ipo bila longolongo
 
Ill take it back maana kwenye makaratsi tunaonekana tuna budget kubwa, lakini budget zetu ni projections tuu hata 50% ya hizo pesa hazitapatikana wala kutumika, wenzetu wakikupa budget maana yake pesa yote ipo bila longolongo
Ok hapo nimeelewa mkuu
 
Back
Top Bottom