Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787] ila kweli MONUSCO naona kabisa wanalinda vitaCorrection: Russia HAIJAIVAMIA Ukraine! Russia imeingia Ukraine kwa taarifa mahususi, kwa amani na lengo maalum la kuwahakikishia ulinzi na usalama raia wa majimbo yaliyojitangazia uhuru wao.
NB: Vamia = ingilia na kushambulia (aghalabu, ghafla) na kusababisha maafa, madhara, na kupora mali.
Role ya Russia haina tofauti sana na ^assumed role^ ya MONUSCO (Mission de l'Organisation des Nations Unies pour la stabilisation en République démocratique du Congo).
Tofauti tu ni kwamba wanajeshi wa MONUSCO wao ^wanalinda vita,^ badala ya kulinda amani!
Correction: Russia HAIJAIVAMIA Ukraine! Russia imeingia Ukraine kwa taarifa mahususi, kwa amani na lengo maalum la kuwahakikishia ulinzi na usalama raia wa majimbo yaliyojitangazia uhuru wao.
NB: Vamia = ingilia na kushambulia (aghalabu, ghafla) na kusababisha maafa, madhara, na kupora mali.
Role ya Russia haina tofauti sana na ^assumed role^ ya MONUSCO (Mission de l'Organisation des Nations Unies pour la stabilisation en République démocratique du Congo).
Tofauti tu ni kwamba wanajeshi wa MONUSCO wao ^wanalinda vita,^ badala ya kulinda amani!