Bei ya mafuta itashuka zaidi

Bei ya mafuta itashuka zaidi

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Habari nzuri ni kwamba bei ya mafuta Tanzania itaendelea kushukuka kwa miezi inayokuja kutokana na bei ya Dunia kushuka. Tanzania inanunua mafuta kwa miezi mitatu hivyo bei inakuwa ya miezi mitatu nyuma.

Bei za US ni kutokana na bei ya wakati huo na kwa mwezi mmoja hapa nilipo Texas bei imeshuka kutoka $4 kwa gallon mpaka $3 ambayo ni kushuka kwa asilimia 25%. Hivyo tutegemee bei kutokupanda miezi ya 12 na mwaka kesho mwezi wa kwanza na wa pili.
 
Toka mwezi wa Sita bei ya mafuta duniani ilishaanza kushuka, lakini Tz bei haishuki na badala yake imeendelea kupanda. Kwanini? Kodi na tozo za serikali zimerundikwa kwenye mafuta. Kwa hiyo hakuna ahueni yoyote itatokea kwa mtanzania ikiwa bei ya mafuta itashuka kwenye soko la dunia.
 
Habari nzuri ni kwamba bei ya mafuta Tanzania itaendelea kushukuka kwa miezi inayokuja kutokana na bei ya Dunia kushuka. Tanzania inanunua mafuta kwa miezi mitatu hivyo bei inakuwa ya miezi mitatu nyuma. Bei za US ni kutokana na bei ya wakati huo na kwa mwezi mmoja hapa nilipo Texas bei imeshuka kutoka $4 kwa gallon mpaka $3 ambayo ni kushuka kwa asilimia 25%. Hivyo tutegemee bei kutokupanda miezi ya 12 na mwaka kesho Mwezi wa kwanza na wa pili
Taarifa fupi ni kuwa bei ya mafuta haitakaa ishuke ndani ya utawala huu wa "Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake" hilo sahau. Ila nikuhakikishie itapanda kadri ya sababu ya kusingizia ikiendelea kuwepo.
 
Taarifa fupi ni kuwa bei ya mafuta haitakaa ishuke ndani ya utawala huu wa "Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake" hilo sahau. Ila nikuhakikishie itapanda kadri ya sababu ya kusingizia ikiendelea kuwepo.

Naomba weka hapa bei ya petroli na dizeli ya sasa. Lakini bei ya sasa ina ruzuku halafu tuta angalia. Tuwe na utamaduni wa data na sio ushabiki
 
Mafuta yakishuka bei ndiyo habari za "Sisi huagiza miezi mitatu" huibuka ila yakipanda tu tayari.
 
Habari nzuri ni kwamba bei ya mafuta Tanzania itaendelea kushukuka kwa miezi inayokuja kutokana na bei ya Dunia kushuka. Tanzania inanunua mafuta kwa miezi mitatu hivyo bei inakuwa ya miezi mitatu nyuma.

Bei za US ni kutokana na bei ya wakati huo na kwa mwezi mmoja hapa nilipo Texas bei imeshuka kutoka $4 kwa gallon mpaka $3 ambayo ni kushuka kwa asilimia 25%. Hivyo tutegemee bei kutokupanda miezi ya 12 na mwaka kesho mwezi wa kwanza na wa pili.




Kama nilivyosema
 
Toka mwezi wa Sita bei ya mafuta duniani ilishaanza kushuka, lakini Tz bei haishuki na badala yake imeendelea kupanda. Kwanini? Kodi na tozo za serikali zimerundikwa kwenye mafuta. Kwa hiyo hakuna ahueni yoyote itatokea kwa mtanzania ikiwa bei ya mafuta itashuka kwenye soko la dunia.


Naona Mama na data zinakusuta ndugu. Kama nilivyosema

 
Bei ya mafuta kwa Tanzania inaweza shuka labdaa,lakini nauli na bei za bidhaa mbalimbali haziji kushuka!
 
Bei ya mafuta kwa Tanzania inaweza shuka labdaa,lakini nauli na bei za bidhaa mbalimbali haziji kushuka!


Wabongo tumekuwa vinara wa kulalama kila tu. Hakuna kitu tunafurahia. Ikipanda shida ikishuka tunakuja na lingine🤔 . Lakinj nakimbuka wakati wa Magu watu walikuwa wanashabikia hata uongo. Vijana wengi wanapenda ushabiki na kiki kuliko ukweli
 
Habari nzuri ni kwamba bei ya mafuta Tanzania itaendelea kushukuka kwa miezi inayokuja kutokana na bei ya Dunia kushuka. Tanzania inanunua mafuta kwa miezi mitatu hivyo bei inakuwa ya miezi mitatu nyuma.
Subutu!!!
 
Naomba weka hapa bei ya petroli na dizeli ya sasa. Lakini bei ya sasa ina ruzuku halafu tuta angalia. Tuwe na utamaduni wa data na sio ushabiki

Ruzuku ilitolewa haipo Kwenye mafuta
 
Taarifa fupi ni kuwa bei ya mafuta haitakaa ishuke ndani ya utawala huu wa "Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake" hilo sahau. Ila nikuhakikishie itapanda kadri ya sababu ya kusingizia ikiendelea kuwepo.
Mafuta sehemu nyingi yameshuka bei zaidi ya Tsh 400.Umetudanganya,huna ujualo.
 
Wabongo tumekuwa vinara wa kulalama kila tu. Hakuna kitu tunafurahia. Ikipanda shida ikishuka tunakuja na lingine🤔 . Lakinj nakimbuka wakati wa Magu watu walikuwa wanashabikia hata uongo. Vijana wengi wanapenda ushabiki na kiki kuliko ukweli
Wacha tulalame tupunguze sumu!bila kulalamika nchi hii ingekosa vijana,wote tungeonekana wazee!

Mafuta yakishuka bei halafu nauli zikabaki vilevile inakuwa haina maana,Ni kheri yasishuke tuuu
 
Habari nzuri ni kwamba bei ya mafuta Tanzania itaendelea kushukuka kwa miezi inayokuja kutokana na bei ya Dunia kushuka. Tanzania inanunua mafuta kwa miezi mitatu hivyo bei inakuwa ya miezi mitatu nyuma.

Bei za US ni kutokana na bei ya wakati huo na kwa mwezi mmoja hapa nilipo Texas bei imeshuka kutoka $4 kwa gallon mpaka $3 ambayo ni kushuka kwa asilimia 25%. Hivyo tutegemee bei kutokupanda miezi ya 12 na mwaka kesho mwezi wa kwanza na wa pili.
Tanzania ipi inanunua mafuta yamiezi mitatu 🤔 nilini imekaa miezi mitatu bei haijapanda wala kushuka toka mwaka jana?
 
Habari nzuri ni kwamba bei ya mafuta Tanzania itaendelea kushukuka kwa miezi inayokuja kutokana na bei ya Dunia kushuka. Tanzania inanunua mafuta kwa miezi mitatu hivyo bei inakuwa ya miezi mitatu nyuma.

Bei za US ni kutokana na bei ya wakati huo na kwa mwezi mmoja hapa nilipo Texas bei imeshuka kutoka $4 kwa gallon mpaka $3 ambayo ni kushuka kwa asilimia 25%. Hivyo tutegemee bei kutokupanda miezi ya 12 na mwaka kesho mwezi wa kwanza na wa pili.
mbona nchini Zanzibar haijawahi kupanda ?
 
Back
Top Bottom