OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Bei za mafuta zinahusika moja kwa moja na mfumuko wa bei(Headline inflation) hii ni kwa kuambiwa lakini nimefanya pia analysis ya haraka haraka na kuona uhusiano mkubwa kati ya hivyo vitu, tafadhali angalia matokeo haya kutoka kwenye STATA nimetumia data ya mwezi kuanzia 2010 hadi 2020.
Ikumbukwe kuwa ni kazi ya Benki Kuu ya Tanzania(BoT) kudhibiti mfumuko wa bei kupitia sera za fedha, lakini kwa hii ni kuwa mfumuko hapo utakuwa umeingia kutoka Fiscal Policy, vyovyote itakavyokuwa
Bei za Petrol zimekuwa zikitrend sawa na Exchange rate,
Habari Njema: Kwa wale wenye account za fedha za kigeni watarajie kuanzia mwezi wa nane ambapo Exchange rates zitakuwa zimebadilika(Post Estimation)
Habari Mbaya: Bei zitapanda wananunuzi na wenye fixed income, wajipange kivingine.
Data zimepatikana kutoka ktk Website ya BoT
Signed
OEDIPUS
Ikumbukwe kuwa ni kazi ya Benki Kuu ya Tanzania(BoT) kudhibiti mfumuko wa bei kupitia sera za fedha, lakini kwa hii ni kuwa mfumuko hapo utakuwa umeingia kutoka Fiscal Policy, vyovyote itakavyokuwa
Bei za Petrol zimekuwa zikitrend sawa na Exchange rate,
Habari Njema: Kwa wale wenye account za fedha za kigeni watarajie kuanzia mwezi wa nane ambapo Exchange rates zitakuwa zimebadilika(Post Estimation)
Habari Mbaya: Bei zitapanda wananunuzi na wenye fixed income, wajipange kivingine.
Data zimepatikana kutoka ktk Website ya BoT
Signed
OEDIPUS