Bei ya mahindi Kigoma na Dar es Salaam

Bei ya mahindi Kigoma na Dar es Salaam

Sungusunguu

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2018
Posts
1,280
Reaction score
998
Wakuu habarini.

Tafadhali naomba msaada kwa anae jua bei zilizopo sasa hivi sokoni za mahindi ni shilingi ngapi anisaidie kujua haraka iwezekanavyo.

Ni kwa ajuae bei za Kigoma na DSM

Ahsanteni!
 
Back
Top Bottom