Bei ya mahindi yaporomoka ghafla, wakulima wapigwa butwaa

Hadi Michele

View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1702618726573441195?t=7wgLCBMion30rJswkD4xlw&s=19
 
Wadau kwajinsi mnaovyoona Mahindi yatapanda Bei tena kwel?
 
Mbeya ni ndizi, kitimoto,viazi vya Mbeya, maharage, maziwa hapa lazima uwe bonge.
Ndo maana kina malafyale niangusage sambi zako wameshiba
Niangusage vijitu vidogo kama wandengereko wa Pwani.
Nimekaa nao Iringa.
Vanyambala akina Malafyale mbavu nene haswaa kasoro mwamba wa Malila tu.
 
My Take
Njia pekee ya kuwa na uhakika wa soko la mahindi ni kukuza ufugaji wa Kisasa Ili mahindi yatumike kama chakula Cha mifugo badala ya kutumia kama chakula Cha binadamu pekee.
Kwa lugha ya vijana wa sasa wanasema kizazi sana.
Point point. Japo kwa uzoefu wangu wa kufuga kuku, mazao yakishika bei, chakiula cha kuku nacho hushuka bei na mwishowe bei ya kuku huanguka . Multiplying effect.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…