Bei ya mahindi yaporomoka ghafla, wakulima wapigwa butwaa

Kilimo kinatabirika sana kwenye masoko, sema tumekuwa tukifanya vitu kimazoea bila mipango. Inabidi tubadilike ili tuliwin game
Mkuu kutabiri mahindi ni ngumu kwa sababu hayalimwi muda wote. Kolimo cha viazi na vitunguu ndio rahisi kwa sababu vinalimwa kwa msimu wote hivyo mkulima anaweza lisoma soko akaingia.
 
Baada ya Mugabe kuwafukuza wazungu na mashamba Yao kubakia vichaka vya kufugia panya na nyoka wakaanza zaliwa generation ya watu wasio na lishe wenye miili ya njaa kama watu wa pwani.
wewe endelea tu kula mahindi na mchele uwe bonge halafu ukaribishe sukari na pressure kwa furaha kabisa. Hongera
 
Prinviple niliojifunza ni achieve high yield katika uzalishaji uliozoekeka. Ukivina kiwango cha juu hata bei ikishika una compasate.
Mfano heka ya mahinficwengi huvuna kuanzia gunia 17 mpaka 25.
Utafiyi unsonesha unaweza vuna gunia hadi 45 kwa kuzingatia kanuni zote.
Nina makala moja hapa ta fsmilia ya walimu kutoka Kenya wao wamefanikiwa kuvuna gunia 35 kwa eka.
Lakini kipeperushi cha seedco wao wame orodhesha kila mbegu na mavuno yake, mbegu ya TEMBO inazalisha gunia 45 kwa heka. Suala ni kuwaandama seedco watuelekeze gunia 45 tunapataje kwa kanuni zipi ?
Ukifanikisha gunia 35 kwa sh. 66 una 2.3 milions.
bado inaweza kulipa kama umelima large scale.
Bado naunga mkono wazo la mdau kufuga mifugo, tulishe na kuuza mifugo badala ya mahindi. Ni wazo zuri ila gumu kibongo bongo, hivyo yatupasa kubadirika kifikra.
Na hii inaweza kupelekea bei kuwa stable kwa sababu ita create scarcity automatically.
 
Mkuu kutabiri mahindi ni ngumu kwa sababu hayalimwi muda wote. Kolimo cha viazi na vitunguu ndio rahisi kwa sababu vinalimwa kwa msimu wote hivyo mkulima anaweza lisoma soko akaingia.
Hakuna kisichowezekana. Sema kingine kinachotuangusha wakulima ni uwezo wetu mdogo wa kusindika au kuhifadhi mavuno ili kuongeza thamani .
 
Barbara zinajengwa wapi kiongozi
 
ata mpunga umeporomoka bei

hii ni kawaida anaepigwa na butwa huyo ni kiazi tuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…