Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Amani iwe juu yenu wakuu..
Kwanza natoa shukrani kwenye hili jukwaa maana limenipa faida katika kufikiri mambo.
Tuje kwenye mada sasa...
Mimi naomba kupewa bei ya mshine za kuchanganya rangi za nyumba mana nimeuliza huko mitaani sipati jibu la uhakika ila naamini humu siwezi kukosa jibu.
Nimeuliza maana nataka nifanye hii biashara wakuu..Naombeni jibu.
Nawasilisha.
Kwanza natoa shukrani kwenye hili jukwaa maana limenipa faida katika kufikiri mambo.
Tuje kwenye mada sasa...
Mimi naomba kupewa bei ya mshine za kuchanganya rangi za nyumba mana nimeuliza huko mitaani sipati jibu la uhakika ila naamini humu siwezi kukosa jibu.
Nimeuliza maana nataka nifanye hii biashara wakuu..Naombeni jibu.
Nawasilisha.