Bei ya mti wa mnazi

Bei ya mti wa mnazi

pangakali 2

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
239
Reaction score
221
Wakubwa habari za majukum. Kumekuwa na mgogoro mkubwa kwa majirani zangu ambao wanagombania mti wa mnazi mkubwa ambao ulikua unauwezo wa kuzalisha nazi.

Jirani mmoja kati yao akaamua kuukata huo mnazi mwisho wa jirani wa pili amefika na kugundua kuwa mti wa mnazi umekatwa na kuzua taharuki ya ugomvi.

Hoja yangu ya msingi kwa anayefaham bei ya mti wa mnazi uliokomaa bei ya serikal inaweza kuwa kias gani? Ili tuingilie kati na kumlipa huyo jamaa ambaye ndio mmililiki halal kwa mujibu wa document alizonazo za manunuzi
 
Wakubwa habari za majukum. Kumekuwa na mgogoro mkubwa kwa majirani zangu ambao wanagombania mti wa mnazi mkubwa ambao ulikua unauwezo wa kuzalisha nazi. Jirani mmoja kati yao akaamua kuukata huo mnazi mwisho wakwa jirani wa pili amefika na kugundua kuwa mti wa mnazi umekatwa na kuzua taharuki ya ugomvi. Hoja yangu ya msingi kwa anayefaham bei ya mti wa mnazi uliokomaa bei ya serikal inaweza kuwa kias gani? Ili tuingilie kati na kumlipa huyo jamaa ambaye ndio mmililiki halal kwa mujibu wa document alizonazo za manunuzi
Sijui kwanini aliukata kama ulikuwa hauna madhara kwake. Bei ya serikali kwani mnazi ni wa serikali? Mnazi unachuma zaidi ya nazi 30 kila baada ya miezi miwili...na unaweza kuishi zaidi ya miaka 100.bei ya chini ya nazi moja kwa sasa ni 1000..kampigie hesabu huyo kibosile asiejuwa thamani ya mnazi...bali anaona Mwarubaini ndio wakupana.
 
Sijui kwanini aliukata kama ulikuwa hauna madhara kwake. Bei ya serikali kwani mnazi ni wa serikali? Mnazi unachuma zaidi ya nazi 30 kila baada ya miezi miwili...na unaweza kuishi zaidi ya miaka 100.bei ya chini ya nazi moja kwa sasa ni 1000..kampigie hesabu huyo kibosile asiejuwa thamani ya mnazi...bali anaona Mwarubaini ndio wakupana.
Sijaelewa kidgo umesema bei ni kias gani? Sabab ya kuukata ni kwa sabab ulikua eneo ambalo alikua anataka kujenga ukuta kwa hio ili ukuta unyooke ilikua lazima pia mnazi ukatwe
 
Sijui kwanini aliukata kama ulikuwa hauna madhara kwake. Bei ya serikali kwani mnazi ni wa serikali? Mnazi unachuma zaidi ya nazi 30 kila baada ya miezi miwili...na unaweza kuishi zaidi ya miaka 100.bei ya chini ya nazi moja kwa sasa ni 1000..kampigie hesabu huyo kibosile asiejuwa thamani ya mnazi...bali anaona Mwarubaini ndio wakupana.
Hesabu za std two, inakuja 18M.
 
Sijaelewa kidgo umesema bei ni kias gani?
Sabab ya kuukata ni kwa sabab ulikua eneo ambalo alikua anataka kujenga ukuta kwa hio ili ukuta unyooke ilikua lazima pia mnazi ukatwe
Bei ipo chini hapo jamaa kaweka milion moja laki nane...si kungekuwa na majadiliano na mwenyewe lakini?? Au mwenyewe maskini hana kitambi wala kazi nzuri??
 
Back
Top Bottom