Bei ya Sukari ipo juu

Mgodo visa

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2016
Posts
3,590
Reaction score
3,632
Vipi wadau mbona Bei ya Sukari imepanda ghafla, tena kwa ongezeko la asilimia arobaini na tano (45%)

Naona ugumu wa Maisha kuelekea/kuanza kwa mwaka 2024.
 
Pole Mkuu, Khofu ni Vitafunwa kama Maandazi na Vitumbua navyo kupanda bei..
 
Nimeacha sukari mwaka wa 3 huu.Nakunywa chai bila sukari na kahawa bila sukari.Mwili umesha adapt na hali ya afya imekuwa nzuri zaidi nilipokwenda kufanya vipimo.Sina kisukari.
 
Nakumbuka 2016 tulinunua sukari sh. 6,000/- kwa kilo.
 
Huko ubaoni inasoma ngapi ? Huku ni 3,200 maduka ya mzunguko mkubwa 3,400 maduka ya nyumba kumi kwa KG moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…