Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Bei Ya Sukari Imepanda Ghafla Kampuni Ya Sukari Kilombero kutoka 1650 hadi 1800 ndani ya kiwanda, huku tani za sukari zilzozalishwa kufikia 123,670 hadi sasa. lakini mishahara ya wafanyakaz bado ipo chini