Bei ya suti za Sheria Ngowi

Bei
Ukishakuwa na pesa ya kufanya order ya suit direct kutoka kwa Versace, unakuwa na number ya Stella Versace mwenyewe na vipimo vyako wanavyo, suit inashonwa within 24 hours kutoka ofisini kwao.
Gani?
 
Una asili ya majungu na bila shaka utakuwa ukawa tu haina namna
 
Aiseee,watu mnafeli kwa swali dogo tu,jamaa ameuliza bei gani???nami nasubiri jibu nijue bei ya hizo suti,ila nachosoma hapa kwa watu wa kaliba yako ni kujibu swali usiloulizwa
Ndo shida ya wabongo,ndo maana huws tuna fail sanaaa,et bei huiwezi ndo jbu gani sasa hilo??
Humu hatujuani na vipato vyetu hamvijui vzuuri af mnasema eti cjui ni bei ghali,,
Hata ikiwa mil 3 suti tunabeba kama iko bomba sanaaaaaaa.
 
Mbona sioni tofauti yoyote kati ya hizo suti za special za bei ghali na hizi za kushona kwa mafundi wataalamu?
Naona hizo ni mbwembwe tuu hazina lolote tena ni rahis kuchanika na huvai miaka mingi
Kuna mavazi huvaliwa kwa special event tu kisha baada ya hapo unatupa kule haijalishi umenunua bei gani! Ila ni vizuri vazi kama suti ukajitahidi angalau ukawa nazo japo pea mbili tatu siku moja moja ukawa unatupia.
 
Kuna mavazi huvaliwa kwa special event tu kisha baada ya hapo unatupa kule haijalishi umenunua bei gani! Ila ni vizuri vazi kama suti ukajitahidi angalau ukawa nazo japo pea mbili tatu siku moja moja ukawa unatupia.
Sawa
 
Kwa mtani hizo bei zitakuwa za miaka 3 nyuma. nae ameshakuwa aghali. 1m kwenda mbele

Hamna ..wanunuzi wenyewe kina kikwete na kama hao...sasa posho hamna huwaoni kupiga picha huko dukani
 
We shida yako Suti nzuri ya kukupendeza au ya kuvaa miaka mingi? Ukitaka za kuvaa miaka mingi shonesha Suti za ngozi ya mamba,ng'ombe,punda hizo zinadumu mana wenzio kina Mpoto wanashonesha hadi za magunia
Mkuu kweli umemshughulikia. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siwezi kuvaa nguo inayozidi elfu 50 mwilini mwangu!
 
Niliwai kufika officen kwake pea moja ya suti ni USD 3000
 
ila kuna huyu dogo naye yupo vizur aisee, anajitahid kwa kias fulan....." Geofrey Jonathan " ingawa hajulikan Sana'a lkn kaz zk zinaelewekaaa na zipo standard.... na bei Zak ni nafuuu kuanzia lak 3 na nusu, depend na package unayoitakaa....

kamchekin Instagram @geoffrey_jonathan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…