kupigakazi
Member
- Sep 17, 2014
- 53
- 10
Soko lipo la kutosha tatizo ni kuwa wote tunategemea soko moja tu lililopo Dar. Mfano ishu ya nyanya wakati Moro wakikosa wateja kuna mikoa bei bado IPO juu Na ni adimu.Jamani huko tuendako tunatakiwa tujigawe mfano huko Dumila Kilosa na kwingineko kabla ya kuanzisha mradi ufanyike utafiti wa masoko, Ma Dr. na Maprofesa msikimbilie siasa saidieni jamii katika hili,Wakenya wanasafirisha maua na mazao ya mbogamboga kwa ndege kwenda Nchi za Ulaya na hiyo ndiyo impact ya wasomi. Sisi tunajenga viwanja vya ndege vya kusafirisha abiria na madawa ya kulevya tu.Ndio maana nachelea kuingia katika kilimo cha mazao ya mbogamboga kwani huwezi kuhifadhi kwa muda mrefu,Aheri nilime mahindi na mpunga japo mbogamboga inalipa katika eneo dogo
Jamani huko tuendako tunatakiwa tujigawe mfano huko Dumila Kilosa na kwingineko kabla ya kuanzisha mradi ufanyike utafiti wa masoko, Ma Dr. na Maprofesa msikimbilie siasa saidieni jamii katika hili,Wakenya wanasafirisha maua na mazao ya mbogamboga kwa ndege kwenda Nchi za Ulaya na hiyo ndiyo impact ya wasomi. Sisi tunajenga viwanja vya ndege vya kusafirisha abiria na madawa ya kulevya tu.Ndio maana nachelea kuingia katika kilimo cha mazao ya mbogamboga kwani huwezi kuhifadhi kwa muda mrefu,Aheri nilime mahindi na mpunga japo mbogamboga inalipa katika eneo dogo