Habari wakuu, natafuta bajaji ya kubebea mizigo maarufu kama toyo, hivi dukani bei ni shilingi ngapi kwa sasa. note: maduka ya kuaminika maana kuna jamaa huwa wanaziagiza kwa exemption then wanaziuza, matokeo yake kubadili jina inakuwa mziki.
Asanteni wakuu.