resonanceiduufu
Senior Member
- Jul 29, 2016
- 112
- 62
Bei hapa Tanzania ;
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo Old model na New model zote!Raum old model au new model mkuu!
Maana hzi Gari zina generation zake ya kwanza na ya pili.
YapMpya ya Zero Kilometer? Ya kuchan a Makaratasi
Hakunaga gari ya ziro km, labda ishushwe kutoka sayari ya Mars.Mpya ya Zero Kilometer? Ya kuchan a Makaratasi
Naamnisha mpya kutoka kiwandani sio used kakaHakunaga gari ya ziro km, labda ishushwe kutoka sayari ya Mars.
Nimekuelewa,ila hata ya kutoka kiwandani haiwi zero km. Kwasababu huwa zina testiwa mifumo yake.Naamnisha mpya kutoka kiwandani sio used kaka
Unautaka mzigo mkuu?Km ngap
Hii Raum nimeielewa nicheck 0759007829 whatsapp but location yangu ni NJOMBE mjiUnautaka mzigo mkuu?
Mzigo nishaunywa mkuu.Hii Raum nimeielewa nicheck 0759007829 whatsapp but location yangu ni NJOMBE mji
contact ni muhimu,Usiangaike njoo nikupe hii hapa kwa bei ya kutupa. Vibali viko sawa hadi 2017, ni namba C, usiulize AC maana utaganda, spare tyre mpya, pamoja na carrier yake juu
Pm kwa maelezo zaidi, bei ya Gari in mil 6 iko Mwanza.
.View attachment 379321View attachment 379322View attachment 379323View attachment 379324View attachment 379325