Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kampala bajaji bei inaanza kwa 3.9M hadi 5M
Tv inategemea na aina pia na saizi kwa led bei inaanzia 500,000/=
21nc
🤣 🤣 🤣 🤣 mdau nadhani ulimaanisha pikipiki ya magurudumu matatu hapo kwenye kichwa cha habari. Bajaj na TVS ni kampuni 2 tofauti. Ila umeeleweka mdau. Walioko Uganda watakujibuHabari zenu mabibi na mabwana wa hapa jukwaa la Uganda,Napenda kujua gharama ya kununua tvs bajaj kwa uganda ni kiasi gani ?
Wewe ndo hujaelewa, Kuna bajaji Aina ya TVS, siyo television (TV), ni TVS BAJAJ.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] mdau nadhani ulimaanisha pikipiki ya magurudumu matatu hapo kwenye kichwa cha habari. Bajaj na TVS ni kampuni 2 tofauti. Ila umeeleweka mdau. Walioko Uganda watakujibu