Huku dar kuna wanunuzi wananunua kwa 2250Jamani mbona ufuta mwaka huu bei ndogo sana leo kilo imefikia 1500 hapa Mpanda na Sumbawanga kuna nini safari hii
Huku dar kuna wanunuzi wananunua kwa 2250
Hata Ukiwa na mzigo mkubwa
ni kweli umeshuka bei mwaka huu. RUFIJI 1700/=. LAKINI HAO WANAONUNUA WANAKUJA KUUZA DAR KWA HIYO BEI YA 2250/= HIVYO NI HAKI YAO KUNUNUA 1500/= KWA SUMBAWANGA. KUMBUKA MWAKA HUU UFUTA UMEKUBALI SANA, KARIBIA SEHEMU ZOTE ULIOLIMWA UMEZAA VIZURI HIVYO NI MWINGI SANA NDIO MAANA BEI IMESHUKA. USIKATE TAMAA NDIO KILIMO CHA TANZANIA
Jamani mbona ufuta mwaka huu bei ndogo sana leo kilo imefikia 1500 hapa Mpanda na Sumbawanga.
Kuna nini safari hii?
price volatility in the market is not our making...
mimi nahitaji kununua kama tani mbili hivi... Mtoa mada unaweza kunitafutia hizo tani fasta fasta.