SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
taarifa kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika bei ya Umeme itaongezeka kwa asilimia 50 kuanzia mwezi wa kwanza.
Sababu inayotajwa ni gharama kubwa ya kuendesha shirika, kwa kiasi kikubwa bei hii huchangiwa na umeme ambao TANESCO inabidi inunue kutoka makampuni mengine.
My Take
Ingekua bora kama TANESCO wangejikita katika upunguza gharama zao za uendeshaji kwa kuzalisha wenyewe umeme wa bei nafuu kuliko kukimbilia tu kutupa mzigo kwa walaji
Pamoja na nchi kujisifia mmegundua gas na mafuta mengi bado umeme ni kimeo?
Umeme hautapanda wala hakutakuwa na bei mpya January 2013, hii ni kauli ya Waziri wa Nishati na Madini alipokuwa anahojiwa na ITV- Kipindi dakika 29/10/2012.
Umeme bado tatizo ndugu yangu
Mkuu kazi nchi hii ipo! Hata hilo ziwa nyasa kama kinachogombewa ni wese, basi hakuna haja ya kutwangana na Malawi manake kuwa na ziwa na hayo mafuta hayatoisaidia Tanzania. Hiyo gas iliopo inatusaidia nini?
kwenye hicho hicho kipindi waziri alisema tanzania inayo policy document ya gas, wewe unaamini?
kwani gas yenyewe nasikia mkulu si kaiweka rehani kwa kumgomboa mwanae huko kwa gin tao?
Na mashaka sana na hiki chanzo chako cha habari kwani tulishaaidiwa kuwa kuanzia Jan 2013 gharama za umeme zitashuka kama ifuatavyo:taarifa kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika bei ya Umeme itaongezeka kwa asilimia 50 kuanzia mwezi wa kwanza.
Sababu inayotajwa ni gharama kubwa ya kuendesha shirika, kwa kiasi kikubwa bei hii huchangiwa na umeme ambao TANESCO inabidi inunue kutoka makampuni mengine.
My Take
Ingekua bora kama TANESCO wangejikita katika upunguza gharama zao za uendeshaji kwa kuzalisha wenyewe umeme wa bei nafuu kuliko kukimbilia tu kutupa mzigo kwa walaji
Na mashaka sana na hiki chanzo chako cha habari kwani tulishaaidiwa kuwa kuanzia Jan 2013 gharama za umeme zitashuka kama ifuatavyo:
-Mijini itakuwa laki 360.
-Vijijini itakuwa laki 170.
Na sisi huku vijijini tunasubiri sana Jan 2013.
taarifa kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika bei ya Umeme itaongezeka kwa asilimia 50 kuanzia mwezi wa kwanza.
Sababu inayotajwa ni gharama kubwa ya kuendesha shirika, kwa kiasi kikubwa bei hii huchangiwa na umeme ambao TANESCO inabidi inunue kutoka makampuni mengine.
My Take
Ingekua bora kama TANESCO wangejikita katika upunguza gharama zao za uendeshaji kwa kuzalisha wenyewe umeme wa bei nafuu kuliko kukimbilia tu kutupa mzigo kwa walaji
Fafanua zaidi vyanzo vyako. Unatutakia presha na magonjwa mengine yatokanao na mshtuko