Bei ya unga imeporomoka hadi kufikia shs 1200 kwa kilo ktk Jiji la Dodoma

Bei ya unga imeporomoka hadi kufikia shs 1200 kwa kilo ktk Jiji la Dodoma

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Hali iko vip pande hzo, hawali ilikuwa ni elf 2000 na Sasa inashuka kwa kaz kuna jamaa hapa kanitonya kuwa itashuka hadi kufikia Mia nane hadi wa tisa, mahind I ni mengi sna safari hii na mkulima kala chali tena kwani bei imekuwa sokoni wenda kuuza gunia kwa elf 20

Waziri wa kilimo hii siyo afya KWa mkulima je mnamsaidiaje Mkulim
 
Soko huria
Na ikipanda mkae kimya walafi waheed mnaokuja na bei elekezi wakati hamjui mkulima kajipanga vipi
 
Kg 1 ni sh 900

Kg 100 ni sh 90,000


Gunia moja ni shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom