Bei ya unga kilo 25 ni elfu 48 kutoka elfu 35

Bei ya unga kilo 25 ni elfu 48 kutoka elfu 35

Quaty

Member
Joined
Oct 12, 2022
Posts
46
Reaction score
146
Habar wadau. Leo asubuhi nimeamka nikiwa na ratiba zangu za kila siku. Ratiba ya kwanza ni kununua vitu vya shop na kuanza na ratiba zingine.

Nikampigia jamaa wa duka la jumla nikitaji sembe. Akaniambia kaka sembe imepanda kwa kuwa nilizoea elfu 41. Nikajua itakuwa elfu 42. Jamaa akasema hana ni elfu 48.

Sijajua shida ni nini?
 
Habar wadau. Leo asubuhi nimeamka nikiwa na ratiba zangu za kila siku...
Hamna kitu kama hicho wewe uko mkoa gani mimi nikuletee kwa bei yako ya zamani
 
Nyie mnalima na bei zimekuwa hivyo sasa tunaosubiri zipakiwe kwenye meli ndio tunasaga meno huku

Hakuna jinsi kwani zikipanda hazishuki tena
 
Back
Top Bottom