Bei ya vifaranga vya broiller kwa Mwanza???

Ngamba

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2013
Posts
750
Reaction score
151
Wajasilimali naombeni kujua bei ya vifaranga vys broiller kwa mwanza, vinauzwa shillingi ngapi kwa sasa??

Nitashukuru sana kwa msaada , najipanga nigependa kuanza biashala ya ufugaji wa kuku wanyama
 
nenda pale kwenye keep left ya samaki kuna duka pale wanauza au mtaa wa msikiti wa LUMUMBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…