Bei za basi za Eicher na Tata

dav22

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
1,887
Reaction score
312
Wanajamvi habari ya kushinda,naomba mwenye ufahamu anifahamishe bei ya hizi basi za eicher au tata kama wazotumia UDA zinaenda kwa bei gani.
 
Mali kutoka india ngoja tusubiri wahusika
 
Temu nilidhani unajua bei
 
70ml - 80mil ....eicher wanakubali nusu ..nyingine unamalizia taratibu. Nenda ofisi zao pale vingunguti karibu na kiwanda cha pepsi.
 
70ml - 80mil ....eicher wanakubali nusu ..nyingine unamalizia taratibu. Nenda ofisi zao pale vingunguti karibu na kiwanda cha pepsi.

Aisee bonge hiyo inakuwa ni aina gani yale marefu au zile fupi??
 
Hizi eicher sio Mbaya na yutong nusu ina maana 60 alafu 60 kwa mkopo ni hapo hapo vingunguti au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…