Mkwanga Senior Member Joined Dec 6, 2010 Posts 146 Reaction score 20 Jan 29, 2013 #1 jaman naonmba msaada mtu anayejua bei ya bati za araf hizi za kawaida pale kiwandan zinauzwaje na wanauza kuanzia ngapi
jaman naonmba msaada mtu anayejua bei ya bati za araf hizi za kawaida pale kiwandan zinauzwaje na wanauza kuanzia ngapi
Prodigal Son JF-Expert Member Joined Dec 9, 2009 Posts 1,068 Reaction score 711 Jan 29, 2013 #2 Kama unamaanisha Aluminium Africa fungua link hiyo hapo chini utapata kila kitu WELCOME TO ALUMINIUM AFRICA LIMITED WEBSITE Kila la heri
Kama unamaanisha Aluminium Africa fungua link hiyo hapo chini utapata kila kitu WELCOME TO ALUMINIUM AFRICA LIMITED WEBSITE Kila la heri
aspen JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 501 Reaction score 166 Jan 29, 2013 #3 Inaelekea huku jf watu wamepanga tu hawajui bei za mabati
Dancani JF-Expert Member Joined Apr 4, 2012 Posts 796 Reaction score 403 Jan 30, 2013 #4 aspen said: Inaelekea huku jf watu wamepanga tu hawajui bei za mabati Click to expand... Kwanini usidhani au kufikiri kuwa hawakutumia hizo bati ambazo mtoa mada ameziulizia maana kujenga sio lazima utumie hizo bati zipo za aina nyingi sana, hizi sio enzi zile kaka kwamba bati ni zaina moja tu
aspen said: Inaelekea huku jf watu wamepanga tu hawajui bei za mabati Click to expand... Kwanini usidhani au kufikiri kuwa hawakutumia hizo bati ambazo mtoa mada ameziulizia maana kujenga sio lazima utumie hizo bati zipo za aina nyingi sana, hizi sio enzi zile kaka kwamba bati ni zaina moja tu
stineriga JF-Expert Member Joined Jun 20, 2012 Posts 2,172 Reaction score 887 Jan 30, 2013 #5 wewe sio araf ni ALAF