bei za filter za kusafisha maji ya visima

cmoney

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
3,570
Reaction score
5,508
Wadau naomba mnipe mawasiliano ya mtu anayeuza filter za kusafishia maji ya kisima yenye chumvi pamoja na wireless router za cmu ni mhm n nmeona jamiiforums ndo duka pekee ambalo najua hakishindikani kitu
 
Wadau naomba mnipe mawasiliano ya mtu anayeuza filter za kusafishia maji ya kisima yenye chumvi pamoja na wireless router za cmu ni mhm n nmeona jamiiforums ndo duka pekee ambalo najua hakishindikani kitu

Hapo kwenye blue,
Kama uku Dar, watafute Merry Water (wako eneo la Victoria barabara ya Bagamoyo kama unatoka city center Dar kwenda Mwenge).
Pia watafute Davis & Shirtlif (wako eneo la Kamata, karibu na Kariakoo).
 
Hapo kwenye blue,
Kama uku Dar, watafute Merry Water (wako eneo la Victoria barabara ya Bagamoyo kama unatoka city center Dar kwenda Mwenge).
Pia watafute Davis & Shirtlif (wako eneo la Kamata, karibu na Kariakoo).

ubarikiwe mdau..huu ni msaada tosha
 
mkuu nenda ardhi university,ili upate salinity content ni kiasi gani,afu ndio upeleke merry water hiyo specs,pia kuna muhind flan yupo hapa mitaa ya samora avenue,yeye anapima mwenyewe na kukupa filter,kama chumvi sio nying lakini,bei yake si chini ya laki 8.
 

Sehemu gani exactly hapo samora mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…