iategemea unataka kutoka kiwanda gani, ukubwa gani na yenye waranty gani? kuna printer kuanzia elfu 40 mpaka mamilioni, vivyo pia kwa scanner ,hata photocopy. na kuna zingine laki na nusu inakuta ni scanner,printer na photocopy all in one. ila sasa kuna suala la wini,speed na vitu vingine