Bei za mafuta Zapanda tena

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,423
Reaction score
9,986
Bei za mafuta zimepanda tena, hii inaashiria kuendelea kuongezeka kwa gharama za maisha.

Pengine kwenye soko la dunia bei imeongezeka Ila serikali isingeongeza kodi kwenye mafuta kwenye hii bajeti mpya basi Bei zingekuwa kidogo afadhali.

Sikujua kwa nini serikali iliongeza kodi kwenye mafuta ikiwa wanajua uchumi uliharibiwa na jnaga la corona.

 
hili swala linabid liangaliwe kwa ukaribu sanaa.. maana hata gharama za usafir zitapanda
 
Watanzania wenzenu tuishio Burundi hukumambo ni mteremko, huko naskia kodi ya uzalendo zinawashinda wazalendo wenyewe kuzilipa
tulizoea kitonga!!
wanaume wazima eti wanalalamika.!!
haaaa hahaaa, tena haswa wanaume wa Dar ndio hodari wa kulalamika!!![emoji1787]
pigeni kazi maisha yasonge.
 
Ule mwingi ulikuwa kipindi cha fungate tuu.. Sasa limeisha.. Hakika kazi iendelee.. Maa ulituingiza cha city vibaya mnooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha ujinga mtani. Acha mama aendelee kuucheza mwingi. Acha heshima ichukue mkondo wake
 
tulizoea kitonga!!
wanaume wazima eti wanalalamika.!!
haaaa hahaaa, tena haswa wanaume wa Dar ndio hodari wa kulalamika!!![emoji1787]
pigeni kazi maisha yasonge.
 
Dr wa uchumi aliambiwa hili kuwa bei zitapanda baada ya mafuta kupanda bei kwenye soko la dunia jibu alilitoa, hata mimi mwenye degree ya uchumi ya kuunga kwa super glue nilijua jamaa hajui anachoongea.
Aisee hii nchi watu wa madegree ambayo hayana maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…