Kwetu ujenzi ni aghari kwa sababu ya WIZI uliokithiri na Utamaduni unaojengeka kwamba ni lazima uibe ili uwe mtu.
nimehamua ibakie huku UK, nitapata nyumba 2 kwa ajili ya wanangu and no loans! sorryIle milioni 200 yako siyo dili Bongo...inatosha kwa mbavu ya mbwa Mbagala.
nakuunga mkono Ndg,tatizo ni miundo mbinu ndiyo inafanya bei kutofautiani kutoka sehemu moja kwenda nyingine,Tatizo la watu kukimbilia maeneo hayo uliyoyataja na kupata maji na umeme kwa rahisi. Kama hizo huduma za jamii zingeweza kupatikana dar yote hakuna sababu ya kwenda kuishi maeneo hayo. kwa maama hiyo kazi kubwa ni ku-mobilize watu wote wa dar waandamane na kupigania huduma za jamii bora. zaidi ya hapo maeneo yaliyotaja yataendelea kuwa more expensive.
WAO! INAONEKANA tz NI EXPENSIVE PLACE TO LIVE IN THE WORLD! THIS IS A SHOCKING! BEI ZA NYUMBA NA PLOTS ZINATISHA! ETI UTAKUTA PLOT 500 SQURE METER KIJITONYAMA MILION 15O. 3 BEDROOM HOUSE IN SINZA MILINON200. MBEZI MILION 400, MASAKI , MSASANI OYSTBAY ETC MPAKA BILION JAMANI WHATS GOING ON? IN UK UTAPATA 2 BEDROOM APPARTMENT ENEO ZURI TU KWA POUND ELFU 60- 100. IN USA NDIO KABISA 3 BEDROOM A HOUSE DOLA ELFU 50 MPAKA MIA UTAPATA TENA MIAMI! YAANI NEVER BUY ANYTHING IN TZ BETTER NI INVEST NJE.
WAO! INAONEKANA tz NI EXPENSIVE PLACE TO LIVE IN THE WORLD! THIS IS A SHOCKING! BEI ZA NYUMBA NA PLOTS ZINATISHA! ETI UTAKUTA PLOT 500 SQURE METER KIJITONYAMA MILION 15O. 3 BEDROOM HOUSE IN SINZA MILINON200. MBEZI MILION 400, MASAKI , MSASANI OYSTBAY ETC MPAKA BILION JAMANI WHATS GOING ON? IN UK UTAPATA 2 BEDROOM APPARTMENT ENEO ZURI TU KWA POUND ELFU 60- 100. IN USA NDIO KABISA 3 BEDROOM A HOUSE DOLA ELFU 50 MPAKA MIA UTAPATA TENA MIAMI! YAANI NEVER BUY ANYTHING IN TZ BETTER NI INVEST NJE.
Tatizo la watu kukimbilia maeneo hayo uliyoyataja na kupata maji na umeme kwa rahisi. Kama hizo huduma za jamii zingeweza kupatikana dar yote hakuna sababu ya kwenda kuishi maeneo hayo. kwa maama hiyo kazi kubwa ni ku-mobilize watu wote wa dar waandamane na kupigania huduma za jamii bora. zaidi ya hapo maeneo yaliyotaja yataendelea kuwa more expensive.