Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Shirika la Taifa la Bima NHI hivi karibuni limebadilisha bei na majina ya vifurushi vyake.
Mabadiliko haya yalitangazwa tangu December 17th 2024 na sasa umepita takriban mwezi mmoja tangu mabadiliko hayo yafanyike.
Badala ya bei ya Tshs 194,000 sasa vifurushi vitaanzia 240,000 kwa watu wazima ikiwa ni ongezeko la asilimia 23.76
Tunakumbushana tu kuwa juzi juzi hapa CCM walionesha mabasi yao ya kijani ambayo yalikuwa ni mamia kwa mamia.
Kwa hiyo pesa za kununua mabasi zipo ila pesa za kuongeza kwenye mfuko wa bima ili kumpa mwananchi unafuu katika huduma za afya hamna.
Soma pia: CCM wanatoa wapi fedha za kununulia msululu huu wote wa Mabasi, kama sio Kodi za Wananchi ni nini?
Shirika la Taifa la Bima NHI hivi karibuni limebadilisha bei na majina ya vifurushi vyake.
Mabadiliko haya yalitangazwa tangu December 17th 2024 na sasa umepita takriban mwezi mmoja tangu mabadiliko hayo yafanyike.
Badala ya bei ya Tshs 194,000 sasa vifurushi vitaanzia 240,000 kwa watu wazima ikiwa ni ongezeko la asilimia 23.76
Tunakumbushana tu kuwa juzi juzi hapa CCM walionesha mabasi yao ya kijani ambayo yalikuwa ni mamia kwa mamia.
Kwa hiyo pesa za kununua mabasi zipo ila pesa za kuongeza kwenye mfuko wa bima ili kumpa mwananchi unafuu katika huduma za afya hamna.
Soma pia: CCM wanatoa wapi fedha za kununulia msululu huu wote wa Mabasi, kama sio Kodi za Wananchi ni nini?