BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Hali ya Mfumuko wa Bei ya bidhaa muhimu ikiwemo chakula kwa jiji la Dar es salaam imezidi kupanda kwa kasi licha ya maeneo mengi nchini kuwa kwenye msimu wa mavuno.
Hapa chini ni bei za mazao ya chakula kwenye masoko ya jiji la Dar es salaam kwa kipindi cha mwenzi mmoja kuanzia Julai hadi August 2022.
JULAI
Pilipili Hoho 1Kg - Tsh. 4,000/-
Dagaa 1Kg - Tsh. 7,000/-
Mkungu wa Ndizi - Tsh. 15,000/-
Mchele 1Kg - Tsh. 2,000/-
Ndoo ya Nyanya - Tsh. 35,000/-
AGOSTI
Hoho 1Kg - Tsh. 7,000/-
Dagaa 1Kg - Tsh. 10,000/-
Mkungu wa Ndizi - Tsh. 30,000/-
Mchele 1Kg - Tsh. 2,700/-
Ndoo ya Nyanya - Tsh. 45,000/-
Nini maoni yako kuhusu bei hizi?
Hapa chini ni bei za mazao ya chakula kwenye masoko ya jiji la Dar es salaam kwa kipindi cha mwenzi mmoja kuanzia Julai hadi August 2022.
JULAI
Pilipili Hoho 1Kg - Tsh. 4,000/-
Dagaa 1Kg - Tsh. 7,000/-
Mkungu wa Ndizi - Tsh. 15,000/-
Mchele 1Kg - Tsh. 2,000/-
Ndoo ya Nyanya - Tsh. 35,000/-
AGOSTI
Hoho 1Kg - Tsh. 7,000/-
Dagaa 1Kg - Tsh. 10,000/-
Mkungu wa Ndizi - Tsh. 30,000/-
Mchele 1Kg - Tsh. 2,700/-
Ndoo ya Nyanya - Tsh. 45,000/-
Nini maoni yako kuhusu bei hizi?