Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Thanks man ,Ungepata mtu wa MAINLINE CARRIERS angekupa ufafanuzi mzuri maana ndio ndinga zao
Jamaa wanandinga kama zote na wanabeba yale mamizgo ya ajabuajabu sijui AbnormalUngepata mtu wa MAINLINE CARRIERS angekupa ufafanuzi mzuri maana ndio ndinga zao
Thanks manKwa swala la.uimara na kupiga kazI kwa gari lolite la kichina ondoa shaka.
Ila driver comfort ni zero .
They are not cheap too, japo benki nyingi zipo ready to finace them as they are zero km na zina uhakika wa kurudisha pesa..
DALBITUngepata mtu wa MAINLINE CARRIERS angekupa ufafanuzi mzuri maana ndio ndinga zao