Kama ana mtoto wa kike ndo anapomsukumia huko kwa kumwambia "enzi nina umri kama wako sikuwa nimedoda kama wewe, embu amka huko kanitafutie hela" ilihali huyo bint hana kazi wa kibarua.Nilikua naongelea maisha in the end ya mwanamke aliyekua anajiuza..nothing serious mkuu
Sawa The Boss but i think tukikata katikati, hao prostitutes wangekua targeted walipokua na umri mdogo,then kusingekuwepo na hizo 'recruitment agents'..(wasingefikia 35 na kuwa agent kama wangekua wameshatolewa kny ukahaba walivyokua wadogo)
Vile vile hao wa over 45 ni hatari sana.Nilikua naongelea maisha in the end ya mwanamke aliyekua anajiuza..nothing serious mkuu
Kama ana mtoto wa kike ndo anapomsukumia huko kwa kumwambia "enzi nina umri kama wako sikuwa nimedoda kama wewe, embu amka huko kanitafutie hela" ilihali huyo bint hana kazi wa kibarua.
Kuna aina ya prostitutions ambazo hata iweje
Haiwezi kuisha. Ndo maana unaona
Hata nchi tajiri kuna prostitutions..
Unaweza watoa huku uwanja wa fisi..
Lakini kule Serena Hotel hutaweza
Kama ana mtoto wa kike ndo anapomsukumia huko kwa kumwambia "enzi nina umri kama wako sikuwa nimedoda kama wewe, embu amka huko kanitafutie hela" ilihali huyo bint hana kazi wa kibarua.
Boss amini wako makonki wanaowasukuma watoto wa kuzaa.Mara nyingi hapo anasukuma 'mayatima'.
Watoto wake mwenyewe mara chache kuwasukuma huko
Hata malaya... mwanaume mwenye mahusiano na mwanamke zaidi ya mmoja haitwi malaya. Anaitwa kitombi, kidume, kifaa na mengine mengi ya kusifia ushujaa wa kuwapanga wamama.
Tunaruhusiwa kuchangia kwa kinyerere?
Huyu mjumbe kaamua kutunyanyapaa wallah...Imesemekanaje.....?.....ukielewa unieleweshe......
Astaghafirulilah... unatudhalilisha wenye jinsia yetu ujue...Mzee mwenzangu hizo lugha za kujifariji tu, neno mujarabu ni Malaya.
Huyu mjumbe kaamua kutunyanyapaa wallah...
Hivi ndo tuseme umeamua kunitosa mazima?
Hello JF,
Asubuhi hii nimejikuta nawaza hili kundi la wanaojiuza miili yao
Much emphasize has been put on young people/girls NOT to get involved or engage in Prostitution,
But,
Little have been done to get 'women' who are already prostitutes out of prostitution...
As such,
Prostitution for some becomes a career just like any other!...
Anyway leo nimewaza maisha ya older'working' woman...
At 45,
You are approaching or already have menopause....
At 45 you are not attractive as you used to be,
Prostitution career life cycle depends on age...
The more you get older , you get less customers....
Looking back on the past you feel used and guilty.......
Sad, very sad!
Ongea chochote..LOL
Amini usiamini wanafikia hata 60+, na wengine bado shughuli yao ni ya kujiuza, tuliopitia nyumba za kupanga, tunaelewa..Niwachache sana wanafika hio 45