BEIRA BOY na KIDUKU LILO mnastahili tuzo kwa uongo asseh nyie ni nouma

BEIRA BOY na KIDUKU LILO mnastahili tuzo kwa uongo asseh nyie ni nouma

wizodg

Senior Member
Joined
Dec 24, 2018
Posts
121
Reaction score
112
Mara ana v8,mara yuko kwa Dadake amekataliwa na demu , mara Ana range, mara anatafuta fundi gari inagongagonga dah acheni uongo wadau mmezidi. Kwa wanao wafahamu watakuwa wamenielewa
 
Acha wivu wa kike. kama wanadanganya weka basi ukweli kuwahusu.
 
Acha wivu wa kike. kama wanadanganya weka basi ukweli kuwahusu.
kwa kweli sijui kutumia jamii forum ya kwenye Web vizuri ila ningeshare post zao za zamani
 
Hili jukwaa linapendeza kwakua kila mtu anatumia kipaji chake.
 
Beira Boy
JF-Expert Member

Aman itawale kwenu wakuu
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana
Nyie ndo ndugu zangu wa damu
Nimechoka kutumia V 8 sasa je ni gar gan nyingine inafaa kutumiwa ila iwe japo ya kuanzia milion mia nne kwenda juu
Japo mimi naifikilia sana Chevrolet
Je Chevrolet inafaa? Kweli wazee
Gari yangu ya kwanza kununua ilikuwa teza badae subaru lakin kwa sasa natumia V 8
Lakin nayo nimeichoka sasa basi ni gar gan nyingine ni nzur na inafaa kutumiwa na mtu kama mimi ambaye nimeichoka v 8
Ni hayo tu ndugu zangu
Ushaul wenu
LONDON BOY"nimejaribu kucopy maneno aliyosema katika thread yake"
 
Back
Top Bottom