Beka Mfaume(The greatest himself)

raoka kubanda

Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
45
Reaction score
24
Ama kwa hakika aliyewahi kuthubutu kusoma kazi za huyu mzee anaweza kusadiki maneno yangu kwamba ni kalamu moja flani hivi yenye utulivu ndani yake..... riwaya kama MWIBA...THE GOD FATHER...TUFANI...DHIHAKA....MARRY MARIAM... na nyingine nyiingi..... napenda kushare na nyinyi hii najua wapo wengi waliowahi kuisoma ila wapo pia ambao bado... kama na wewe unasoft copy ya hadith yake yoyote tu share tujikumbushe kidogo
 
Nahitaji sana kitabu chake cha Muhanga wa Ikulu na Mzee Beka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…