sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 649
hahahha polen
-kapewa mchezo uliomwaribu akil siyo?alivaaa kinga?
lakin km jamaa amekiri basi poa mama amsamehe tu baba na wampime hg km ana mimba ama lah iliwajue jins ya kumsaidia
- hg pia aulizwwe km anampenda bab au alifanya kwa kulazimishwa au alitoa mzgo kwa kuogopa uyu ni boss wangu....
-hg arudishwe aliokotoka
BT KM KAADMIT BAS BABA ASEMEHEWE cz ata km mama akikomaa kununa haisaidii kwan uko kooooooote jamaa anakochapa mama anajua?basi ni jambo la kusameheana tu....ila km akiona wanaendelea bado iyo ni kashda nyingne tena
hahahha polen
-kapewa mchezo uliomwaribu akil siyo?alivaaa kinga?
lakin km jamaa amekiri basi poa mama amsamehe tu baba na wampime hg km ana mimba ama lah iliwajue jins ya kumsaidia
- hg pia aulizwwe km anampenda bab au alifanya kwa kulazimishwa au alitoa mzgo kwa kuogopa uyu ni boss wangu....
-hg arudishwe aliokotoka
BT KM KAADMIT BAS BABA ASEMEHEWE cz ata km mama akikomaa kununa haisaidii kwan uko kooooooote jamaa anakochapa mama anajua?basi ni jambo la kusameheana tu....ila km akiona wanaendelea bado iyo ni kashda nyingne tena
Kweli masikini hana haki hapa duniani, yaani mtoto wa watu kachezewa tena pengine kwa kubakwa, halafu mwisho wa siku mnamrudisha KIJIJINI utafikiri yeye ndio mwenye makosa. Ee Mungu sikiliza kilio cha ma-house girl na watoto hawa waliokosa fursa ya kuendelezwa! Na nyie wazee mnaofanya huo ufirauni, si muende kwa machangu mbona wako wengi tu na siku hizi kwa kuwa supply imeongezeka price nayo imeshuka sana, kuna mpaka wa bao moja sh. 500 sasa shida iko wapi?
Kweli masikini hana haki hapa duniani, yaani mtoto wa watu kachezewa tena pengine kwa kubakwa, halafu mwisho wa siku mnamrudisha KIJIJINI utafikiri yeye ndio mwenye makosa. Ee Mungu sikiliza kilio cha ma-house girl na watoto hawa waliokosa fursa ya kuendelezwa! Na nyie wazee mnaofanya huo ufirauni, si muende kwa machangu mbona wako wengi tu na siku hizi kwa kuwa supply imeongezeka price nayo imeshuka sana, kuna mpaka wa bao moja sh. 500 sasa shida iko wapi?
Sasa Nyamayao ndo hivo jamaa kaamua kumfuata toto huko na akubaliane ni vipi atamuudumia maana kila kukicha mama na siasa tu! Hivi akienda bungeni jamaa atapata wapi huduma nyeti?kwangu kama kabakwa hiyo ni case nyingine, lakini kama walikubaliana wenyewe bac ajue mr wangu nitaendelea nae yeye namfungasha kama ifuatavyo, hakuja kwangu kuvua chupi bali kufanya kazi zinazomuhusu kwa malipo halali.
Mama alikuwa kwenye kampeni kwa kipindi kirefu hivyo mzee akawa anarudi home mwenyewe kila siku.
Jamaa akamalizia SASA WAZEE WANGU HUYU BINTI AKUVALIE KANGA MOJA AKUFUNGULIE MLANGO USIKU NA WEWE UNAHITAJI HUDUMA YA MAMA NA HAYUKO UNAFANYAJE?
Mara nyingi wake huwapigia mapande waume zao bila wenyewe kugundua. Hili tukio limesababishwa na mama mwenye nyumba mwenyewe.